Diamond Platnumz amuomba msamaha Mch.Gwajima baada ya kumwambia atamgeuza maji kesho.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuingia Kwenye Droo Yetu Ya Wasafi WCB Daily, Bonyeza Mshale kama huu

               

dinsta

diamondplatnumz

Yala! Yala! Jamani Mwenzenu nimeyatimba😟..... lakini mi nafkiri watu wanatakiwa waiskilize hii nyimbo kwa umakini sana tena sana na wataelewa nini ilikuwa maana yangu haswa... Hususani kama kipengele nilichomtaja mzee wangu @Bishopgwajima nilisema: "mara nasikia vya aibu Konda na Gwajima eti ugomvi umekolea....ila kuchunguza kwa karibu ni kuna binti mmoja tu ndio kwa mitandao anachochea..."
Point yangu ni kwamba licha ya kweli kuna yaliyojiri nyuma, lakini kwa busara zao ninazoamini wamejaaliwa na Mwenyez Mungu muda si mref wangekaa chini na kumaliza...nawote kufurahi kwa pamoja, lakini kwakuwa kuna dada mwingine alikua anachochea hawa ndugu zetu wazidi kufarakana...ikapelekea hadi kufikia hapa...asa hapo kosa langu mie liko wapi?😭
Chonde chonde mzee wangu @Bishopgwajima usinigeuze maji kesho πŸ‘, mana nakujua ukimuamulia mtu.... naweza jumapili ya kesho nikaiona chungu Mwaka mzimaπŸ˜πŸ˜†

DOWLOAD APP YETU YA WCB DAILY HAPA CHINI

0 Response to "Diamond Platnumz amuomba msamaha Mch.Gwajima baada ya kumwambia atamgeuza maji kesho.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚"

Post a Comment